Taka za sehemu za mimea na pia mabaki ya mimea vinaweza kutumika kama [baiofueli]. Taka za sehemu za mimea ni sehemu za mimea, yaani, sehemu za mazao ambazo haziwezi kutumika kama chakula, au kwa kazi nyingine yoyote ile na mara nyingi hutupwa. Mabaki ni sehemu zilizosalia toka sehemu za mimea. Kwa hiyo hizi ni sehemu za mimea ambazo kitu Fulani, kama vile mafuta tayari kimeondolewa.

Mifano[edit | edit source]

Mifano ya taka za sehemu ya mimea inajumuisha, olive pits (kwa Kiswahili?)

Mifano ya mabaki inajumuisha, keki zilizotolewa mafuta toka kwenye [jatropha], pongamia n.k.

Faida[edit | edit source]

Tofauti na sehemu nyingine nyingi za mimea (yaani matawi machanga…) au magogo yalikatwa karibuni, mabaki toka kwenye mazao kama vile keki zilizotolewa mafuta ni kavu sana na zina density kubwa zaidi ya nishati.

Angalia pia[edit | edit source]

Faharasa[edit | edit source]


FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Keywords biomass, energy conversion, biofuels, energy
SDG SDG07 Affordable and clean energy
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 0 pages link here
Impact 132 page views
Created Agosti 11, 2012 by Christopher Sam
Modified Oktoba 23, 2023 by Maintenance script
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.