Maana
Gesijoto ni gesi zinazofyonza na kutoa miali ndani ya uzio wa infraredi/tabaka la hewa ama anga la dunia. Mchakato huu ndio chanzo kikuu cha athari za gesijoto.
Mifano ya gesijoto
Gesijoto kuu zinazopatikana katika anga ni mvuke, hewa ukaa, methane na ozoni.
Athari
Gesijoto zinachangia sana kuongezeka kwa joto duniani. Na athari za gesijoto ni pamoja na ongezekola joto duniani.