Gesijoto ni gesi zinazofyonza na kutoa miali ndani ya uzio wa infraredi/tabaka la hewa ama anga la dunia. Mchakato huu ndio chanzo kikuu cha athari za gesijoto.

Mifano ya gesijoto[edit | edit source]

Gesijoto kuu zinazopatikana katika anga ni mvuke, hewa ukaa, methane na ozoni.

Athari[edit | edit source]

Gesijoto zinachangia sana kuongezeka kwa joto duniani. Na athari za gesijoto ni pamoja na ongezekola joto duniani.

Usomaji zaidi[edit | edit source]

Mabadiliko ya tabianchi

http://en.wikipedia.org/wiki/Greenhouse_gas

Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.