Jump to content

Nchi zinazoendelea

From Appropedia

Nchi zinazoendelea ni nchi zilizo na uchumi duni, kipato duni, miundombinu duni na huduma za jamii duni. Nchi zinazoendelea pia zinajulikana kama nchi za dunia ya tatu. Lakini kwa kuwa nchi zinazoendelea ziko nyingi kuliko nchi zilizoendelea kumekuwa na msukumo wa kutaja nchi zinazoendelea kama nchi nyingi duniani. Yaani wengi wanadhani ni vizuri

kuzitaja nchi hizi kwa uhalisia na sio kwa kile kinachokosekana. Pia sio sahihi sana kutaja nchi zinazoendelea kama nchi za kusini kwani kuna baadhi ya nchi ziko kusini mwa dunia na zina maendeleo halikadhalika ziko nchi kaskani mwa dunia na zina maendeleo duni.

Page data
SDG
Authors
License CC-BY-SA-3.0
Derivative of Developing countries
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 4 pages link here
Views 127 page views (analytics)
Created Julai 2, 2011 by Christopher Sam
Last edit Novemba 27, 2025 by Maintenance script
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.