Nchi zinazoendelea ni nchi zilizo na uchumi duni, kipato duni, miundombinu duni na huduma za jamii duni. Nchi zinazoendelea pia zinajulikana kama nchi za dunia ya tatu. Lakini kwa kuwa nchi zinazoendelea ziko nyingi kuliko nchi zilizoendelea kumekuwa na msukumo wa kutaja nchi zinazoendelea kama nchi nyingi duniani. Yaani wengi wanadhani ni vizuri
kuzitaja nchi hizi kwa uhalisia na sio kwa kile kinachokosekana. Pia sio sahihi sana kutaja nchi zinazoendelea kama nchi za kusini kwani kuna baadhi ya nchi ziko kusini mwa dunia na zina maendeleo halikadhalika ziko nchi kaskani mwa dunia na zina maendeleo duni.
Page dataAuthors |
nigger jones |
---|
License |
CC-BY-SA-3.0 |
---|
Derivative of |
Developing countries |
---|
Language |
Kiswahili (sw) |
---|
What links here |
Developing countries, Mazao ya chakula, Baiomasi, Matofali ya udongo uliogandamizwa, Ubunifu wa asili, Mkaa, Makaa:rafiki wa mazingira, mbadala wa kuni, Teknolojia sahihi za wazi |
---|
Impact |
369 |
---|
Suggestions |
Add a main image, Expand this page |
---|
Created |
Julai 2, 2011 by nigger jones |
---|
Modified |
Aprili 14, 2023 by Felipe Schenone |
---|
Cite as |
nigger jones (2011–2023). "Nchi zinazoendelea". Appropedia. Retrieved Oktoba 4, 2023. |
---|
API queries |
basic, semantic, html, files, more |
---|
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.