Jump to content

Muhogo

From Appropedia

Maana

[edit | edit source]

Muhugo ni aina mojawapo ya zao la nafaka. Muhogo hutokana na mzizi lakini pia majani yake yanalika kama kisamvu.

Viinilishe katika Muhogo

[edit | edit source]

Muhogo una kiasi kikubwa sana cha wanga (uthibitisho unahitajika) ukilinganisha na nafaka nyingine.

Matumizi

[edit | edit source]

Mbali na kutumika kama chakula muhogo hutumika kutengenezea madawa, vifungashio na katika viwanda vya nguo na n.k.

Faida za kulima muhogo

[edit | edit source]

Tofauti na nafaka nyingine muhogo unaweza kustahimili ukame na kukua vizuri katika udogo usio na rutuba(uthibitisho unahitajika).

Vikwazo katika kilimo cha muhogo

[edit | edit source]

Katika nchi zinazoendelea wakulima wa muhogo wanakumbwa na vikwazo vifuatavyo:

    1. Mbegu duni.
    2. Ujuzi duni.
    3. Uhifadhi duni.
    4. Wadudu waharibifu.
    5. Magonjwa.
Page data
SDG
Authors
License CC-BY-SA-3.0
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 0 pages link here
Views 75 page views (analytics)
Created Oktoba 3, 2011 by Christopher Sam
Last edit Novemba 27, 2025 by Maintenance script
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.