Maana[edit | edit source]

Muhugo ni aina mojawapo ya zao la nafaka. Muhogo hutokana na mzizi lakini pia majani yake yanalika kama kisamvu.

Viinilishe katika Muhogo[edit | edit source]

Muhogo una kiasi kikubwa sana cha wanga (uthibitisho unahitajika) ukilinganisha na nafaka nyingine.

Matumizi[edit | edit source]

Mbali na kutumika kama chakula muhogo hutumika kutengenezea madawa, vifungashio na katika viwanda vya nguo na n.k.

Faida za kulima muhogo[edit | edit source]

Tofauti na nafaka nyingine muhogo unaweza kustahimili ukame na kukua vizuri katika udogo usio na rutuba(uthibitisho unahitajika).

Vikwazo katika kilimo cha muhogo[edit | edit source]

Katika nchi zinazoendelea wakulima wa muhogo wanakumbwa na vikwazo vifuatavyo:

    1. Mbegu duni.
    2. Ujuzi duni.
    3. Uhifadhi duni.
    4. Wadudu waharibifu.
    5. Magonjwa.


Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.