Maana[edit | edit source]
Muhugo ni aina mojawapo ya zao la nafaka. Muhogo hutokana na mzizi lakini pia majani yake yanalika kama kisamvu.
Viinilishe katika Muhogo[edit | edit source]
Muhogo una kiasi kikubwa sana cha wanga (uthibitisho unahitajika) ukilinganisha na nafaka nyingine.
Matumizi[edit | edit source]
Mbali na kutumika kama chakula muhogo hutumika kutengenezea madawa, vifungashio na katika viwanda vya nguo na n.k.
Faida za kulima muhogo[edit | edit source]
Tofauti na nafaka nyingine muhogo unaweza kustahimili ukame na kukua vizuri katika udogo usio na rutuba(uthibitisho unahitajika).
Vikwazo katika kilimo cha muhogo[edit | edit source]
Katika nchi zinazoendelea wakulima wa muhogo wanakumbwa na vikwazo vifuatavyo:
- Mbegu duni.
- Ujuzi duni.
- Uhifadhi duni.
- Wadudu waharibifu.
- Magonjwa.