Muhogo

Maana
[edit | edit source]Muhugo ni aina mojawapo ya zao la nafaka. Muhogo hutokana na mzizi lakini pia majani yake yanalika kama kisamvu.
Viinilishe katika Muhogo
[edit | edit source]Muhogo una kiasi kikubwa sana cha wanga (uthibitisho unahitajika) ukilinganisha na nafaka nyingine.
Matumizi
[edit | edit source]Mbali na kutumika kama chakula muhogo hutumika kutengenezea madawa, vifungashio na katika viwanda vya nguo na n.k.
Faida za kulima muhogo
[edit | edit source]Tofauti na nafaka nyingine muhogo unaweza kustahimili ukame na kukua vizuri katika udogo usio na rutuba(uthibitisho unahitajika).
Vikwazo katika kilimo cha muhogo
[edit | edit source]Katika nchi zinazoendelea wakulima wa muhogo wanakumbwa na vikwazo vifuatavyo:
- Mbegu duni.
- Ujuzi duni.
- Uhifadhi duni.
- Wadudu waharibifu.
- Magonjwa.
| Authors | |
|---|---|
| License | CC-BY-SA-3.0 |
| Cite as | Kili (2011–2025). "Muhogo". Appropedia. Retrieved Juni 4, 2026. |