Kipingizi, (w) vipingizi |kiswahili (in english resistor(s)). Kipingizi ni kifaa cha umeme kizuiacho au kipunguzacho kiasi cha mkondo wa umeme unaopita.

Kama umeme utakuwa wa volti moja na kipingizi kikaruhusu mkondo wa umeme wa ampia moja, basi kipingizi kitakuwa na omu(ohm) moja. Katika sakiti ya umeme upingizi unaweza kutafutwa kimahesabu kwa R=V/I. Vipingizi vinapatikana katika viwango tofauti. Vilivyo katika maelfu huwekwa katika kilo omu na vilivyo katika mamilioni huwekwa katika mega omu.

FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 0 pages link here
Impact 319 page views
Created Mei 21, 2011 by Christopher Sam
Modified Novemba 15, 2022 by Felipe Schenone
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.