Gesijoto
From Appropedia
Contents |
[edit] Maana
Gesijoto ni gesi zinazofyonza na kutoa miali ndani ya uzio wa infraredi/tabaka la hewa ama anga la dunia. Mchakato huu ndio chanzo kikuu cha athari za gesijoto.
[edit] Mifano ya gesijoto
Gesijoto kuu zinazopatikana katika anga ni mvuke, hewa ukaa, methane na ozoni.
[edit] Athari
Gesijoto zinachangia sana kuongezeka kwa joto duniani. Na athari za gesijoto ni pamoja na ongezekola joto duniani.
[edit] Usomaji zaidi
http://en.wikipedia.org/wiki/Greenhouse_gas
Ukurasa huu ni kipisi tafadhali saidia kuendeleza!