Gesijoto   

From Appropedia
Jump to: navigation, search

Contents

[edit] Maana

Gesijoto ni gesi zinazofyonza na kutoa miali ndani ya uzio wa infraredi/tabaka la hewa ama anga la dunia. Mchakato huu ndio chanzo kikuu cha athari za gesijoto.

[edit] Mifano ya gesijoto

Gesijoto kuu zinazopatikana katika anga ni mvuke, hewa ukaa, methane na ozoni.

[edit] Athari

Gesijoto zinachangia sana kuongezeka kwa joto duniani. Na athari za gesijoto ni pamoja na ongezekola joto duniani.

[edit] Usomaji zaidi

Mabadiliko ya tabianchi

http://en.wikipedia.org/wiki/Greenhouse_gas

Ukurasa huu ni kipisi tafadhali saidia kuendeleza!

Personal tools