Manihot esculenta dsc07325.jpg

Maana[edit | edit source]

Muhugo ni aina mojawapo ya zao la nafaka. Muhogo hutokana na mzizi lakini pia majani yake yanalika kama kisamvu.

Viinilishe katika Muhogo[edit | edit source]

Muhogo una kiasi kikubwa sana cha wanga (uthibitisho unahitajika) ukilinganisha na nafaka nyingine.

Matumizi[edit | edit source]

Mbali na kutumika kama chakula muhogo hutumika kutengenezea madawa, vifungashio na katika viwanda vya nguo na n.k.

Faida za kulima muhogo[edit | edit source]

Tofauti na nafaka nyingine muhogo unaweza kustahimili ukame na kukua vizuri katika udogo usio na rutuba(uthibitisho unahitajika).

Vikwazo katika kilimo cha muhogo[edit | edit source]

Katika nchi zinazoendelea wakulima wa muhogo wanakumbwa na vikwazo vifuatavyo:

    1. Mbegu duni.
    2. Ujuzi duni.
    3. Uhifadhi duni.
    4. Wadudu waharibifu.
    5. Magonjwa.
FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 1 pages link here
Impact 418 page views
Created Oktoba 3, 2011 by Christopher Sam
Modified Agosti 22, 2023 by Irene Delgado
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.