The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.
Mpunga wa punje ndefu wa Amerika

Mpunga ni aina ya nafaka ambayo baada ya kukobolewa hutoa mchele. Mchele ni chakula maarufu sana hasa katika bara la Asia.

Matumizi

Matumizi makubwa ya mpunga ni pamoja na chakula yaani, mchele, malisho ya wanyama, kutoa nishati joto, mboji toka katika mabaki n.k kutegemeana na eneo husika.

Viinilishe

Mpunga/mchele huna viinilishe vya wanga kwa kiasi kikubwa na protini kidogo na mafuta katika kiwango kidogo sana.

Kilimo cha mpunga

Mpunga hustawi katika maeneo ya mabondeni kwenye udongo hunaotuamisha maji na joto kali (uthibitisho unahitajika). Hivyo mpunga hulimwa zaidi katika maeneo yenye hali ya kitropiki.

Usomaji zaidi

FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Keywords rice
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Derivative of Rice
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 2 pages link here
Impact 401 page views
Created Novemba 21, 2011 by Christopher Sam
Modified Oktoba 23, 2023 by StandardWikitext bot
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.