Mpunga wa punje ndefu wa Amerika

Mpunga ni aina ya nafaka ambayo baada ya kukobolewa hutoa mchele. Mchele ni chakula maarufu sana hasa katika bara la Asia.

Matumizi[edit | edit source]

Matumizi makubwa ya mpunga ni pamoja na chakula yaani, mchele, malisho ya wanyama, kutoa nishati joto, mboji toka katika mabaki n.k kutegemeana na eneo husika.

Viinilishe[edit | edit source]

Mpunga/mchele huna viinilishe vya wanga kwa kiasi kikubwa na protini kidogo na mafuta katika kiwango kidogo sana.

Kilimo cha mpunga[edit | edit source]

Mpunga hustawi katika maeneo ya mabondeni kwenye udongo hunaotuamisha maji na joto kali (uthibitisho unahitajika). Hivyo mpunga hulimwa zaidi katika maeneo yenye hali ya kitropiki.

Usomaji zaidi[edit | edit source]

Discussion[View | Edit]

Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.