Mazao ya chakula ni mazao yanayolimwa kwa ajili ya matumizi ya chakula kwa kaya husika. Pia tunaweza kusema mazo haya ulimwa ili kukidhi matumizi ya kawaida ya kaya husika, mazo haya hayalimwi kwa lengo la kwanza la kuuzwa/biashara.
Mfano wa mazao ya chakula ni pamoja na mahindi, mpunga, mtama, ngano, uwele, mazao ya mifugo, muhogo, n.k. Lakini ni muhimu kufahamu kuwa mazao haya pia yanaweza kulimwa kwa ajili ya biashara/kuuzwa. Katika nchi zinazoendelea mazao ya chakula hulimwa kwa ajili ya chakula/matumizi ya kawaida na pia kama chanzo cha mapato kwa kuuza ziada.
Keywords |
food |
---|
Authors |
Christopher Sam |
---|
License |
CC-BY-SA-4.0 |
---|
Derivative of |
Food crops |
---|
Language |
Kiswahili (sw) |
---|
What links here |
Food crops, Nchi zinazoendelea, Kilimo cha mjini, Mazao ya biashara, Uwele, Mpunga, Magunzi, Muhogo, User:EduardoGarcia/dump |
---|
Impact Number of visits to this page and its redirects. |
357 |
---|
Suggestions Suggestions to improve this page. Click on each one to read more. |
No main image, Too short (751 chars) |
---|
Created |
Julai 16, 2011 by Christopher Sam |
---|
Modified |
Februari 10, 2023 by Irene Delgado |
---|
Cite as |
Christopher Sam (2011–2023). "Mazao ya chakula". Appropedia. Retrieved Machi 25, 2023. |
---|
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.