Maana[edit | edit source]

Magonjwa ya kuambukiza ni magonjwa yanayoweza kuenea toka mtu mmoja hadi mwingine kwa njia kama vile, wadudu, kunywa, kula, hewa na mgusano wa miili.

Magonjwa ya kuambukiza ni hatari sana kwani huenea kwa haraka katika eneo kubwa.

Njia za kuepuka[edit | edit source]

Magonjwa ya kuambukiza yanaweza kuepukwa kwa kuzingatia usafi, kanuni za afya bora, na kinga kwa njia ya chanjo.

Usomaji zaidi[edit | edit source]

Afya bora


FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
License CC-BY-SA-3.0
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 0 pages link here
Impact 360 page views
Created Oktoba 26, 2011 by Christopher Sam
Modified Novemba 15, 2022 by Felipe Schenone
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.