Nchi zinazoendelea ni nchi zilizo na uchumi duni, kipato duni, miundombinu duni na huduma za jamii duni. Nchi zinazoendelea pia zinajulikana kama nchi za dunia ya tatu. Lakini kwa kuwa nchi zinazoendelea ziko nyingi kuliko nchi zilizoendelea kumekuwa na msukumo wa kutaja nchi zinazoendelea kama nchi nyingi duniani. Yaani wengi wanadhani ni vizuri

kuzitaja nchi hizi kwa uhalisia na sio kwa kile kinachokosekana. Pia sio sahihi sana kutaja nchi zinazoendelea kama nchi za kusini kwani kuna baadhi ya nchi ziko kusini mwa dunia na zina maendeleo halikadhalika ziko nchi kaskani mwa dunia na zina maendeleo duni.

FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Derivative of Developing countries
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 8 pages link here
Impact 369 page views
Created Julai 2, 2011 by Christopher Sam
Modified Aprili 14, 2023 by Felipe Schenone
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.