Mpunga wa punje ndefu wa Amerika

Mpunga ni aina ya nafaka ambayo baada ya kukobolewa hutoa mchele. Mchele ni chakula maarufu sana hasa katika bara la Asia.

Matumizi[edit | edit source]

Matumizi makubwa ya mpunga ni pamoja na chakula yaani, mchele, malisho ya wanyama, kutoa nishati joto, mboji toka katika mabaki n.k kutegemeana na eneo husika.

Viinilishe[edit | edit source]

Mpunga/mchele huna viinilishe vya wanga kwa kiasi kikubwa na protini kidogo na mafuta katika kiwango kidogo sana.

Kilimo cha mpunga[edit | edit source]

Mpunga hustawi katika maeneo ya mabondeni kwenye udongo hunaotuamisha maji na joto kali (uthibitisho unahitajika). Hivyo mpunga hulimwa zaidi katika maeneo yenye hali ya kitropiki.

Usomaji zaidi[edit | edit source]

FA info icon.svg Angle down icon.svg Page data
Keywords rice
Authors Christopher Sam
License CC-BY-SA-3.0
Derivative of Rice
Language Kiswahili (sw)
Related 0 subpages, 2 pages link here
Impact 401 page views
Created Novemba 21, 2011 by Christopher Sam
Modified Oktoba 23, 2023 by StandardWikitext bot
Cookies help us deliver our services. By using our services, you agree to our use of cookies.